Kituo Cha Fursa
Kuomba kozi mbali mbali katika Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa Waombaji wote wanapaswa kuchukua fomu ya maombi inayopatikana kupitia Fomu ya Maombi au fika chuoni katika Ofisi ya Mratibu wa Taaluma.
Waombaji wote wa ngazi ya I & II au III watatakiwa kulipia fomu hiyo kiasi ambacho hakitafidiwa cha 10,000/= kupitia 22101100068 - National Microfinance Bank (NMB).
Maulizo na Anuani
Mkuu wa Chuo,
Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa (CW Bigwa),
P.O. Box 339, Morogoro, Tanzania.
Mobile: +255 (0)719 576 309 / +255 (0)713 423 475
Barua Pepe: usajili@bigwafdc.ac.tz
Nukushi: www.bigwafdc.ac.tz
Jina la akaunt: CHUO CHA MAENDELEO MWANANCHI BIGWA
Namba ya Akaunti: 22101100068
Bank: National Microfinance Bank (NMB)