Kituo Cha Fursa
Mkuu wa Chuo
Kipekee natoa salamu zangu za dhati kwa jumuiya ya Chuo cha Manedeleo ya Wananchi Bgwa. Kama Mkuu wa Chuo kwa heshima kubwa nitaongoza na kushirikiana na menejiment pamoja na Watumishi wote kwa lengo la kukifanya Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa kuwa chuo kinachoongoza katika utoaji wa ujuzi kulingana na mahitaji ya jamii nchini na Afrika Mashariki. Ninatarajia umoja, ushirikiano pamoja na ubunifu kwaajili ya kesho iliyobora ya Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa.
Mahafali ya kumi na Nane 2024-...
Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa leo tarehe 21 Nov 2025 kimeadhimisha mahafali yake ya kumi na s...
Kozi fupi- Ofisi ya Waziri Mku...
Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira,vijana na Mahusioano kupitia Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa(FD...
Mafunzo ya Muda Mfupi kupitia...
CMW Bigwa kwa kushirikiana na Jumuiya ya Vyuo na Taasisi za Ufundi Kanada (CICan) kinatoa mafunzo ya...
Mafunzo haya ni mahususi kwa Wasichana waliokatisha masomo kutokanana na Bonyeza hapa kupakua fomu.
Vijana walio chaguliwa kuhudhuria mafunzo haya wanatakiwa kuripoti chuoni tarehe 19 Januari 2026 kwaajili ya kuanza mafunzo.bonyeza hapa kupakua orodha ya majina.