Karibu Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa


Principal

Bi. Monica Lukeha

Mkuu wa Chuo

Kipekee natoa salamu zangu za dhati kwa jumuiya ya Chuo cha Manedeleo ya Wananchi Bgwa. Kama Mkuu wa Chuo kwa heshima kubwa nitaongoza na kushirikiana na menejiment pamoja na Watumishi wote kwa lengo la kukifanya Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa kuwa chuo kinachoongoza katika utoaji wa ujuzi kulingana na mahitaji ya jamii nchini na Afrika Mashariki. Ninatarajia umoja, ushirikiano pamoja na ubunifu kwaajili ya kesho iliyobora ya Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa.

Habari Mpya

Ona Habari zote

Mahafali ya kumi na Nane 2024-...


Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa leo tarehe 21 Nov 2025 kimeadhimisha mahafali yake ya kumi na s...

Kozi fupi- Ofisi ya Waziri Mku...


Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira,vijana na Mahusioano kupitia Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Bigwa(FD...

Mafunzo ya Muda Mfupi kupitia...


CMW Bigwa kwa kushirikiana na Jumuiya ya Vyuo na Taasisi za Ufundi Kanada (CICan) kinatoa mafunzo ya...

Matangazo


  1. FOMU YA KUJIUNGA KWAWASICHANA WALIOKATISHA MASOMO(EHM) 2026 New

    Mafunzo haya ni mahususi kwa Wasichana waliokatisha masomo kutokanana na Bonyeza hapa kupakua fomu.

  2. ORODHA YA MAJINA YA VIJANA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA MAFUNZO YA UWANAGENZI FANI MBALIMBALI NA ORODHA YA AKIBA - JANUARI 2026 New

    Vijana walio chaguliwa kuhudhuria mafunzo haya wanatakiwa kuripoti chuoni tarehe 19 Januari 2026 kwaajili ya kuanza mafunzo.bonyeza hapa kupakua orodha ya majina.

  3. FOMU YA MAOMBI YA KUJIUNGA 2025-26 New

    Fomu ya maombi ya kujiunga na mafunzo ya ufundi stadi ngazi ya kwanza mwaka 2026. Bonyeza hapa kupakuwa fomu.

Nyaraka Mbalimbali

FOMU YA MAOMBI YA KUJIUNGA NA FANI ZA MUDA MFUPI (ESP)
MWONGOZO WA ULINZI NA USALAMA
MWONGOZO WA WAKUFUNZI - MAFUNZO YA USAWA WA KIJINSIA
ALMANAC FOR ACADEMIC YEAR 2025-26

Takwimu

8 Fani zinazotolewa
25 Watumishi
262 Wanafunzi
10,000+ Wahitimu